Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 50:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi Yosefu akawaapisha wana wa Israeli, akisema: “Mungu hatakosa kuwaelekezea fikira zake. Kwa hiyo mwichukue mifupa yangu kutoka huku.”+

  • Yoshua 24:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na kuhusu ile mifupa ya Yosefu,+ ambayo wana wa Israeli walikuwa wameileta kutoka Misri, waliizika katika Shekemu ndani ya sehemu ya shamba ambalo Yakobo alinunua kutoka kwa wana wa Hamori,+ baba ya Shekemu, kwa vipande mia moja vya pesa;+ nalo likawa urithi wa wana wa Yosefu.+

  • Waebrania 11:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa imani Yosefu, akikaribia mwisho wake, alitaja kuhusu kule kutoka+ kwa wana wa Israeli; naye akatoa amri kuhusu mifupa yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki