Mwanzo 50:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi Yosefu akawaapisha wana wa Israeli, akisema: “Mungu hatakosa kuwaelekezea fikira zake. Kwa hiyo mwichukue mifupa yangu kutoka huku.”+ Kutoka 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Musa akaichukua mifupa ya Yosefu pamoja naye, kwa sababu alikuwa amewafanya wana wa Israeli waape rasmi, na kusema: “Bila shaka Mungu atawaelekezea ninyi fikira,+ nanyi lazima mwichukue mifupa yangu kutoka hapa pamoja nanyi.”+ Waebrania 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa imani Yosefu, akikaribia mwisho wake, alitaja kuhusu kule kutoka+ kwa wana wa Israeli; naye akatoa amri kuhusu mifupa yake.+
25 Basi Yosefu akawaapisha wana wa Israeli, akisema: “Mungu hatakosa kuwaelekezea fikira zake. Kwa hiyo mwichukue mifupa yangu kutoka huku.”+
19 Na Musa akaichukua mifupa ya Yosefu pamoja naye, kwa sababu alikuwa amewafanya wana wa Israeli waape rasmi, na kusema: “Bila shaka Mungu atawaelekezea ninyi fikira,+ nanyi lazima mwichukue mifupa yangu kutoka hapa pamoja nanyi.”+
22 Kwa imani Yosefu, akikaribia mwisho wake, alitaja kuhusu kule kutoka+ kwa wana wa Israeli; naye akatoa amri kuhusu mifupa yake.+