Mwanzo 50:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mwishowe Yosefu akawaambia ndugu zake: “Ninakufa; lakini Mungu hatakosa kuwaelekezea fikira zake,+ naye kwa hakika atawatoa katika nchi hii na kuwapeleka mpaka nchi ambayo aliwaapia Abrahamu, Isaka na Yakobo.”+
24 Mwishowe Yosefu akawaambia ndugu zake: “Ninakufa; lakini Mungu hatakosa kuwaelekezea fikira zake,+ naye kwa hakika atawatoa katika nchi hii na kuwapeleka mpaka nchi ambayo aliwaapia Abrahamu, Isaka na Yakobo.”+