Zaburi 111:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ameutuma ukombozi kwa watu wake.+ צ [Tsa·dhehʹ]Mpaka wakati usio na kipimo ameamuru agano lake.+ ק [Qohph]Jina lake ni takatifu na lenye kuogopesha.+ Luka 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi woga+ ukawashika wote, nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakisema: “Nabii+ mkuu ameinuliwa katikati yetu,” na, “Mungu amewaelekezea watu wake uangalifu wake.”+
9 Ameutuma ukombozi kwa watu wake.+ צ [Tsa·dhehʹ]Mpaka wakati usio na kipimo ameamuru agano lake.+ ק [Qohph]Jina lake ni takatifu na lenye kuogopesha.+
16 Basi woga+ ukawashika wote, nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakisema: “Nabii+ mkuu ameinuliwa katikati yetu,” na, “Mungu amewaelekezea watu wake uangalifu wake.”+