Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana je, sivyo ilivyo nyumba yangu kwa Mungu?+

      Kwa sababu amenipa agano+ linalodumu mpaka wakati usio na kipimo,

      Likiwa limepangwa kwa utaratibu katika kila kitu na likiwa salama.+

      Kwa sababu ndilo wokovu+ wangu wote na kupendezwa kwangu kwote,

      Je, hiyo siyo sababu atalifanya likue?+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kumbukeni agano lake mpaka wakati usio na kipimo,+

      Neno ambalo aliamuru, mpaka vizazi elfu,+

  • Yeremia 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yehova amesema hivi, ‘Ikiwa ninyi mnaweza kulivunja agano langu la mchana na agano langu la usiku, ili mchana na usiku usije kwa wakati wake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki