Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli 23:1

Marejeo

  • +Mwa 49:1; Kum 33:1
  • +Ru 4:22; 1Sa 17:58; Mt 1:6
  • +2Sa 7:8
  • +1Sa 16:13; Zb 89:20
  • +1Nya 16:9; Amo 6:5

2 Samweli 23:2

Marejeo

  • +Zek 7:12; Mk 12:36; 2Ti 3:16
  • +Mdo 1:16; 2Pe 1:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 102

2 Samweli 23:3

Marejeo

  • +Kum 32:4; Zb 144:1
  • +Met 29:2; Isa 9:7; 32:1
  • +Kut 18:21; 2Nya 19:7; Ne 5:15; Isa 11:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2009, uku. 14

    12/15/1995, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/1 14

2 Samweli 23:4

Marejeo

  • +Mal 4:2; Mt 17:2; Ufu 1:16
  • +Kum 32:2; 33:14; Zb 72:6; Isa 55:10; Mik 5:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1995, uku. 26

2 Samweli 23:5

Marejeo

  • +2Sa 7:19
  • +2Sa 7:16; 1Fa 9:5; 1Nya 17:11; Zb 89:3, 28; 132:11
  • +1Fa 11:38
  • +Zb 62:2
  • +Isa 9:7; 11:1; Amo 9:11

2 Samweli 23:6

Marejeo

  • +2Sa 20:1; 22:5; Zb 18:4
  • +Zb 37:10; Nah 1:15
  • +Isa 33:12

2 Samweli 23:7

Marejeo

  • +Isa 27:4; Mt 13:40; Yoh 15:6; Ebr 6:8

2 Samweli 23:8

Marejeo

  • +2Sa 10:7; 20:7; 1Nya 11:10
  • +1Nya 11:11; 27:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 10

2 Samweli 23:9

Marejeo

  • +1Nya 11:12
  • +1Nya 27:4
  • +1Nya 11:13

2 Samweli 23:10

Marejeo

  • +Amu 8:4
  • +Amu 15:14; 1Sa 14:6; 19:5; 1Nya 11:14; Zb 144:10
  • +Zb 68:12

2 Samweli 23:11

Marejeo

  • +2Sa 23:33; 1Nya 11:34
  • +Mwa 25:34; 2Sa 17:28; Eze 4:9

2 Samweli 23:12

Marejeo

  • +Zb 3:8; 44:3; Met 21:31

2 Samweli 23:13

Marejeo

  • +1Nya 11:15
  • +Yos 15:35; 1Sa 22:1; Mik 1:15
  • +Yos 15:8; 2Sa 5:22; 1Nya 14:9

2 Samweli 23:14

Marejeo

  • +1Sa 22:4; 1Nya 12:16
  • +1Sa 13:23; 14:4; 1Nya 11:16

2 Samweli 23:15

Marejeo

  • +1Nya 11:17

2 Samweli 23:16

Marejeo

  • +1Nya 11:18
  • +Law 9:9; 17:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, uku. 91

    “Upendo wa Mungu,” uku. 77

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 77

2 Samweli 23:17

Marejeo

  • +1Nya 11:19
  • +Mwa 9:4; Law 17:10; Kum 12:23; Mdo 15:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, uku. 91

    “Upendo wa Mungu,” uku. 77

    The Watchtower,

    5/15/2005, uku. 19

    “Kila Andiko,” uku. 63

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 77; w05 5/15 19

2 Samweli 23:18

Marejeo

  • +1Sa 26:6; 2Sa 21:17
  • +2Sa 2:18; 1Nya 2:16
  • +1Nya 11:20

2 Samweli 23:19

Marejeo

  • +1Nya 11:21

2 Samweli 23:20

Marejeo

  • +2Sa 8:18; 20:23; 1Fa 1:8; 2:29; 1Nya 18:17
  • +1Nya 27:5
  • +Yos 15:21
  • +Met 30:30
  • +1Nya 11:22

2 Samweli 23:21

Marejeo

  • +1Nya 11:23
  • +1Sa 17:51

2 Samweli 23:22

Marejeo

  • +2Sa 23:20; 1Nya 27:6
  • +1Nya 11:24

2 Samweli 23:23

Marejeo

  • +1Nya 11:25

2 Samweli 23:24

Marejeo

  • +2Sa 2:18, 23; 1Nya 2:16; 27:7
  • +1Nya 11:26

2 Samweli 23:25

Marejeo

  • +1Nya 27:8

2 Samweli 23:26

Marejeo

  • +1Nya 27:10
  • +1Nya 27:9
  • +1Nya 11:28

2 Samweli 23:27

Marejeo

  • +1Nya 27:12
  • +Yos 21:18; 1Nya 6:60; Yer 1:1
  • +1Nya 27:11

2 Samweli 23:28

Marejeo

  • +1Nya 11:29
  • +1Nya 27:13

2 Samweli 23:29

Marejeo

  • +1Nya 11:30
  • +1Nya 11:31

2 Samweli 23:30

Marejeo

  • +1Nya 27:14
  • +Amu 2:9; 1Nya 11:32

2 Samweli 23:31

Marejeo

  • +1Nya 11:33

2 Samweli 23:32

Marejeo

  • +1Nya 11:34

2 Samweli 23:33

Marejeo

  • +1Nya 11:35

2 Samweli 23:34

Marejeo

  • +2Sa 15:31; 16:23; 17:23; 1Nya 27:33

2 Samweli 23:35

Marejeo

  • +1Nya 11:37

2 Samweli 23:36

Marejeo

  • +1Nya 11:38

2 Samweli 23:37

Marejeo

  • +1Nya 11:39

2 Samweli 23:38

Marejeo

  • +1Nya 2:53
  • +1Nya 11:40

2 Samweli 23:39

Marejeo

  • +2Sa 11:3; 1Fa 15:5; 1Nya 11:41

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Sam. 23:1Mwa 49:1; Kum 33:1
2 Sam. 23:1Ru 4:22; 1Sa 17:58; Mt 1:6
2 Sam. 23:12Sa 7:8
2 Sam. 23:11Sa 16:13; Zb 89:20
2 Sam. 23:11Nya 16:9; Amo 6:5
2 Sam. 23:2Zek 7:12; Mk 12:36; 2Ti 3:16
2 Sam. 23:2Mdo 1:16; 2Pe 1:21
2 Sam. 23:3Kum 32:4; Zb 144:1
2 Sam. 23:3Met 29:2; Isa 9:7; 32:1
2 Sam. 23:3Kut 18:21; 2Nya 19:7; Ne 5:15; Isa 11:3
2 Sam. 23:4Mal 4:2; Mt 17:2; Ufu 1:16
2 Sam. 23:4Kum 32:2; 33:14; Zb 72:6; Isa 55:10; Mik 5:7
2 Sam. 23:52Sa 7:19
2 Sam. 23:52Sa 7:16; 1Fa 9:5; 1Nya 17:11; Zb 89:3, 28; 132:11
2 Sam. 23:51Fa 11:38
2 Sam. 23:5Zb 62:2
2 Sam. 23:5Isa 9:7; 11:1; Amo 9:11
2 Sam. 23:62Sa 20:1; 22:5; Zb 18:4
2 Sam. 23:6Zb 37:10; Nah 1:15
2 Sam. 23:6Isa 33:12
2 Sam. 23:7Isa 27:4; Mt 13:40; Yoh 15:6; Ebr 6:8
2 Sam. 23:82Sa 10:7; 20:7; 1Nya 11:10
2 Sam. 23:81Nya 11:11; 27:2
2 Sam. 23:91Nya 11:12
2 Sam. 23:91Nya 27:4
2 Sam. 23:91Nya 11:13
2 Sam. 23:10Amu 8:4
2 Sam. 23:10Amu 15:14; 1Sa 14:6; 19:5; 1Nya 11:14; Zb 144:10
2 Sam. 23:10Zb 68:12
2 Sam. 23:112Sa 23:33; 1Nya 11:34
2 Sam. 23:11Mwa 25:34; 2Sa 17:28; Eze 4:9
2 Sam. 23:12Zb 3:8; 44:3; Met 21:31
2 Sam. 23:131Nya 11:15
2 Sam. 23:13Yos 15:35; 1Sa 22:1; Mik 1:15
2 Sam. 23:13Yos 15:8; 2Sa 5:22; 1Nya 14:9
2 Sam. 23:141Sa 22:4; 1Nya 12:16
2 Sam. 23:141Sa 13:23; 14:4; 1Nya 11:16
2 Sam. 23:151Nya 11:17
2 Sam. 23:161Nya 11:18
2 Sam. 23:16Law 9:9; 17:13
2 Sam. 23:171Nya 11:19
2 Sam. 23:17Mwa 9:4; Law 17:10; Kum 12:23; Mdo 15:29
2 Sam. 23:181Sa 26:6; 2Sa 21:17
2 Sam. 23:182Sa 2:18; 1Nya 2:16
2 Sam. 23:181Nya 11:20
2 Sam. 23:191Nya 11:21
2 Sam. 23:202Sa 8:18; 20:23; 1Fa 1:8; 2:29; 1Nya 18:17
2 Sam. 23:201Nya 27:5
2 Sam. 23:20Yos 15:21
2 Sam. 23:20Met 30:30
2 Sam. 23:201Nya 11:22
2 Sam. 23:211Nya 11:23
2 Sam. 23:211Sa 17:51
2 Sam. 23:222Sa 23:20; 1Nya 27:6
2 Sam. 23:221Nya 11:24
2 Sam. 23:231Nya 11:25
2 Sam. 23:242Sa 2:18, 23; 1Nya 2:16; 27:7
2 Sam. 23:241Nya 11:26
2 Sam. 23:251Nya 27:8
2 Sam. 23:261Nya 27:10
2 Sam. 23:261Nya 27:9
2 Sam. 23:261Nya 11:28
2 Sam. 23:271Nya 27:12
2 Sam. 23:27Yos 21:18; 1Nya 6:60; Yer 1:1
2 Sam. 23:271Nya 27:11
2 Sam. 23:281Nya 11:29
2 Sam. 23:281Nya 27:13
2 Sam. 23:291Nya 11:30
2 Sam. 23:291Nya 11:31
2 Sam. 23:301Nya 27:14
2 Sam. 23:30Amu 2:9; 1Nya 11:32
2 Sam. 23:311Nya 11:33
2 Sam. 23:321Nya 11:34
2 Sam. 23:331Nya 11:35
2 Sam. 23:342Sa 15:31; 16:23; 17:23; 1Nya 27:33
2 Sam. 23:351Nya 11:37
2 Sam. 23:361Nya 11:38
2 Sam. 23:371Nya 11:39
2 Sam. 23:381Nya 2:53
2 Sam. 23:381Nya 11:40
2 Sam. 23:392Sa 11:3; 1Fa 15:5; 1Nya 11:41
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Samweli 23:1-39

2 Samweli

23 Na haya ndiyo maneno ya mwisho ya Daudi:+

“Neno la Daudi mwana wa Yese,+

Na neno la mwanamume aliyeinuliwa juu,+

Mtiwa-mafuta+ wa Mungu wa Yakobo,

Na mwenye kupendeza wa muziki+ wa Israeli.

 2 Roho ya Yehova ndiyo iliyosema kupitia mimi,+

Na neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.+

 3 Mungu wa Israeli alisema,

Mwamba wa Israeli aliniambia,+

‘Wakati yeye anayetawala juu ya wanadamu ni mwadilifu,+

Akitawala kwa kumwogopa Mungu,+

 4 Basi ni kama nuru ya asubuhi, jua linapoangaza,

Asubuhi isiyo na mawingu.+

Kutokana na mwangaza, kutokana na mvua, majani hutoka katika nchi.’+

 5 Kwa maana je, sivyo ilivyo nyumba yangu kwa Mungu?+

Kwa sababu amenipa agano+ linalodumu mpaka wakati usio na kipimo,

Likiwa limepangwa kwa utaratibu katika kila kitu na likiwa salama.+

Kwa sababu ndilo wokovu+ wangu wote na kupendezwa kwangu kwote,

Je, hiyo siyo sababu atalifanya likue?+

 6 Lakini watu wasiofaa kitu+ hufukuziwa mbali,+ wote, kama miti ya miiba;+

Kwa maana haipaswi kuchukuliwa kwa mkono.

 7 Mtu anapoigusa

Anapaswa kuwa na silaha kamili za chuma na mpini wa mkuki,

Nayo itateketezwa kabisa kwa moto.”+

8 Haya ndiyo majina ya wale wanaume wenye nguvu+ waliokuwa wa Daudi: Yosheb-bashebethi+ Mtakemoni, kichwa cha wale watatu. Alikuwa akitikisa mkuki wake juu ya watu mia nane waliouawa kwa wakati mmoja. 9 Na baada yake Eleazari+ mwana wa Dodo+ mwana wa Ahohi alikuwa kati ya wale wanaume watatu wenye nguvu ambao walikuwa na Daudi walipowadhihaki Wafilisti. Walikuwa wamejikusanya hapo kwa ajili ya vita, na kwa hiyo watu wa Israeli wakarudi nyuma.+ 10 Yeye ndiye aliyesimama, akawapiga na kuwaua Wafilisti mpaka mkono wake ukachoka na mkono wake ukaendelea kuushika upanga,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu mkuu siku hiyo;+ lakini nao watu wakarudi nyuma yake ili tu wawavue nyara wale waliopigwa na kuuawa.+

11 Na baada yake kulikuwa na Shamma mwana wa Agee, Mharari.+ Nao Wafilisti wakajikusanya kule Lehi, ambapo palikuwa na eneo la shamba lililojaa dengu;+ na watu wakakimbia kwa sababu ya Wafilisti. 12 Lakini yeye akasimama katikati ya lile shamba, akalikomboa, naye akaendelea kuwapiga na kuwaua Wafilisti, hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu mkubwa.+

13 Na watatu kati ya wale 30 waliokuwa vichwa+ wakashuka, wakaja kwa Daudi wakati wa mavuno, katika pango la Adulamu;+ na kijiji cha mahema cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+ 14 Na wakati huo Daudi alikuwa katika mahali palipo pagumu kufikiwa;+ na wakati huo kituo cha mbele+ cha Wafilisti kilikuwa katika Bethlehemu. 15 Baada ya muda Daudi akaonyesha tamaa yake na kusema: “Laiti ningekunywa maji kutoka katika tangi la Bethlehemu lililoko langoni!”+ 16 Ndipo wale wanaume watatu wenye nguvu wakaingia kwa nguvu katika kambi ya Wafilisti, wakateka maji kutoka katika lile tangi la Bethlehemu lililoko langoni, wakaja wakiwa wameyachukua na kumletea Daudi;+ naye hakukubali kuyanywa, bali akayamwaga+ mbele za Yehova. 17 Naye akaendelea kusema: “Ni jambo lisiloweza kuwaziwa kwangu,+ Ee Yehova, kwamba nifanye hivi! Je, ninywe damu+ ya watu wanaoenda kwa kuhatarisha nafsi zao?” Naye hakukubali kuyanywa.

Hayo ndiyo mambo ambayo wale wanaume watatu wenye nguvu walifanya.

18 Naye Abishai+ ndugu ya Yoabu mwana wa Seruya,+ alikuwa kichwa cha wale 30, naye alitikisa mkuki wake juu ya watu 300 waliouawa, naye alikuwa na sifa kama wale watatu.+ 19 Ingawa alikuwa mashuhuri kuliko hata wale wengine 30, naye akawa mkuu wao, hakufikia daraja la wale watatu wa kwanza.+

20 Naye Benaya+ mwana wa Yehoyada+ mwana wa mwanamume shujaa, aliyefanya matendo mengi katika Kabzeeli,+ yeye mwenyewe alipiga na kuwaua wale wana wawili wa Arieli wa Moabu; naye alishuka, akapiga na kumuua simba+ ndani ya shimo la maji katika siku ya kuanguka kwa theluji.+ 21 Naye ndiye aliyempiga na kumuua yule mwanamume Mmisri aliyekuwa mkubwa isivyo kawaida.+ Ingawa mkononi mwa yule Mmisri kulikuwa na mkuki, bado yeye alishuka kumwendea akiwa na fimbo, akaunyakua ule mkuki kutoka mkononi mwa yule Mmisri na kumuua kwa mkuki wake mwenyewe.+ 22 Benaya+ mwana wa Yehoyada alifanya mambo hayo; naye alikuwa na sifa kama wale wanaume watatu wenye nguvu.+ 23 Ingawa yeye alikuwa mashuhuri hata kuliko wale 30, hakufikia daraja la wale watatu; lakini Daudi alimweka awe kati ya walinzi wake.+

24 Asaheli+ ndugu ya Yoabu alikuwa kati ya wale 30; Elhanani+ mwana wa Dodo wa Bethlehemu, 25 Shamma+ Mharodi, Elika Mharodi, 26 Helezi+ Mpeleti, Ira+ mwana wa Ikeshi+ Mtekoa, 27 Abiezeri+ Mwanathothi,+ Mebunai Mhusha,+ 28 Salmoni Mwahohi,+ Maharai+ Mnetofa, 29 Helebu+ mwana wa Baana Mnetofa, Itai+ mwana wa Ribai wa Gibea wa wana wa Benyamini, 30 Benaya+ Mpirathoni, Hidai wa mabonde ya mto ya Gaashi,+ 31 Abi-alboni Mwarbathi, Azmavethi+ Mbarhumu, 32 Eliaba Mshaalboni, wana wa Yasheni, Yonathani,+ 33 Shamma Mharari, Ahiamu,+ mwana wa Sharari Mharari, 34 Elifeleti mwana wa Ahasbai mwana wa yule Mmaakathi, Eliamu mwana wa Ahithofeli+ Mgiloni, 35 Hezro+ Mkarmeli, Paarai Mwarabi, 36 Igali mwana wa Nathani+ wa Soba, Bani Mgadi, 37 Seleki+ Mwamoni, Naharai Mbeerothi, wachukua-silaha wa Yoabu mwana wa Seruya, 38 Ira Mwithri,+ Garebu+ Mwithri, 39 Uria+ Mhiti—jumla ya watu 37.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki