3 Ndipo Daudi akatuma watu na kuuliza habari za mwanamke+ huyo, na mtu fulani akasema: “Je, huyu si Bath-sheba,+ binti ya Eliamu,+ mke wa Uria+ Mhiti?”+
5 kwa sababu Daudi alifanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka kando kutoka katika jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru siku zote za maisha yake,+ ila tu katika ile habari ya Uria, Mhiti.+