Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki Mhiti,+ na Abishai+ mwana wa Seruya,+ ndugu ya Yoabu: “Ni nani atakayeshuka aende pamoja nami kwa Sauli kambini?” Naye Abishai akasema: “Mimi nitashuka pamoja nawe.”+

  • Ezra 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na mara mambo hayo yalipokwisha, wakuu+ wakanikaribia, wakisema: “Watu wa Israeli na makuhani na Walawi hawajajitenga+ na watu wa nchi kuhusiana na machukizo yao,+ yaani, Wakanaani,+ Wahiti,+ Waperizi,+ Wayebusi,+ Waamoni,+ Wamoabu,+ Wamisri+ na Waamori.+

  • Nehemia 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nawe ukaona moyo wake kuwa ni mwaminifu mbele zako;+ basi ukafanya lile agano+ pamoja na yeye ili umpe nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori na Waperizi na Wayebusi na Wagirgashi, kuupa uzao wake;+ nawe ukatimiza maneno yako, kwa maana wewe ni mwadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki