16 Na mpaka huo ukashuka kuelekea mwisho wa mlima unaoelekeana na bonde la mwana wa Hinomu,+ ambalo limo katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu+ upande wa kaskazini, nao ukashuka katika bonde la Hinomu, kwenye mteremko wa Myebusi+ upande wa kusini, nao ukashuka hadi En-rogeli.+