-
Yoshua 15:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Na mpaka huo ukapanda hadi bonde la mwana wa Hinomu+ kwenye mteremko wa Myebusi+ upande wa kusini, yaani, Yerusalemu;+ na mpaka huo ukapanda hadi kwenye kilele cha mlima unaoelekeana na bonde la Hinomu upande wa magharibi, ambao uko mwisho wa nchi tambarare ya chini ya Refaimu+ upande wa kaskazini.
-
-
Mathayo 5:22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Hata hivyo, ninawaambia ninyi kwamba kila mtu anayeendelea kuwa na ghadhabu+ na ndugu yake atatoa hesabu+ mahakamani; lakini yeyote yule anayemwambia ndugu yake neno la dharau lisilosemeka atatoa hesabu katika Mahakama Kuu Zaidi; na yeyote yule anayesema, ‘Wewe mpumbavu wa kudharauliwa!’ atastahili Gehena* ya moto.+
-