Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na mpaka huo ukashuka kuelekea mwisho wa mlima unaoelekeana na bonde la mwana wa Hinomu,+ ambalo limo katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu+ upande wa kaskazini, nao ukashuka katika bonde la Hinomu, kwenye mteremko wa Myebusi+ upande wa kusini, nao ukashuka hadi En-rogeli.+

  • 2 Wafalme 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye akafanya Tofethi+ pasifae kwa ibada, mahali palipo katika bonde la wana wa Hinomu,+ ili yeyote asipitishe motoni mwana wake wala binti yake+ kwa Moleki.+

  • Yeremia 7:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nao wamejenga mahali pa juu pa Tofethi,+ palipo katika bonde la mwana wa Hinomu,+ ili kuwateketeza wana wao na binti zao katika moto,+ jambo ambalo sikuamuru wala halikuingia moyoni mwangu.’+

  • Mathayo 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, ninawaambia ninyi kwamba kila mtu anayeendelea kuwa na ghadhabu+ na ndugu yake atatoa hesabu+ mahakamani; lakini yeyote yule anayemwambia ndugu yake neno la dharau lisilosemeka atatoa hesabu katika Mahakama Kuu Zaidi; na yeyote yule anayesema, ‘Wewe mpumbavu wa kudharauliwa!’ atastahili Gehena* ya moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki