Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa maana Tofethi+ yake imepangwa kuanzia majuzi; pia imetayarishwa kwa ajili ya mfalme mwenyewe.+ Yeye amefanya fungu lake liwe na kina kirefu. Kuna moto na kuni kwa wingi. Pumzi ya Yehova, kama mto wa kiberiti, inawaka juu yake.+

  • Yeremia 7:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nao wamejenga mahali pa juu pa Tofethi,+ palipo katika bonde la mwana wa Hinomu,+ ili kuwateketeza wana wao na binti zao katika moto,+ jambo ambalo sikuamuru wala halikuingia moyoni mwangu.’+

  • Yeremia 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘“Kwa hiyo, tazama! kuna siku zinakuja,” asema Yehova, “wakati mahali hapa hapataitwa tena Tofethi+ na bonde la mwana wa Hinomu,+ bali bonde la uuaji.

  • Yeremia 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nawe uwaambie, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Ndivyo nitakavyowavunja watu hawa na jiji hili kama mtu anavyokivunja chombo cha mfinyanzi hivi kwamba hakiwezi kurekebishwa tena;+ nao watazika katika Tofethi+ mpaka pasiwe na mahali zaidi pa kuzikia.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki