11 nawe uwaambie, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Hivi ndivyo nitakavyowavunja watu hawa na jiji hili, kama mtu anavyovunja chombo cha mfinyanzi hivi kwamba hakiwezi kurekebishwa kamwe; nao watawazika wafu katika Tofethi hivi kwamba hakutakuwa na nafasi zaidi ya kuwazika.”’+