Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+

  • Zaburi 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Utawavunja kwa fimbo ya chuma ya enzi,+

      Utawavunja vipande-vipande, kama chombo cha mfinyanzi.”+

  • Isaya 30:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na hakika mtu atauvunja kama vile mtungi mkubwa wa wafinyanzi unavyovunjwa,+ kupondwa vipande-vipande bila mtu kuuachilia, hivi kwamba kati ya vipande vyake vilivyopondwa hakuwezi kupatikana kigae kinachoweza kutumiwa kukusanya moto jikoni wala kuteka maji kutoka eneo lenye matope.”+

  • Maombolezo 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa habari ya wana wa Sayuni wenye thamani,+ waliopimwa uzito kwa kulinganishwa na dhahabu safi,

      Lo! jinsi wamehesabiwa kama mitungi mikubwa ya udongo, kazi ya mikono ya mfinyanzi!+

  • Ufunuo 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 naye atawachunga watu kwa fimbo ya chuma+ hivi kwamba watavunjwa vipande-vipande kama vyombo vya udongo,+ kama vile nilivyopokea kutoka kwa Baba yangu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki