11 Nawe uwaambie, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Ndivyo nitakavyowavunja watu hawa na jiji hili kama mtu anavyokivunja chombo cha mfinyanzi hivi kwamba hakiwezi kurekebishwa tena;+ nao watazika katika Tofethi+ mpaka pasiwe na mahali zaidi pa kuzikia.”’+