33 Kwa maana Tofethi+ yake imepangwa kuanzia majuzi; pia imetayarishwa kwa ajili ya mfalme mwenyewe.+ Yeye amefanya fungu lake liwe na kina kirefu. Kuna moto na kuni kwa wingi. Pumzi ya Yehova, kama mto wa kiberiti, inawaka juu yake.+
6 “‘“Kwa hiyo, tazama! kuna siku zinakuja,” asema Yehova, “wakati mahali hapa hapataitwa tena Tofethi+ na bonde la mwana wa Hinomu,+ bali bonde la uuaji.