Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye akafanya Tofethi+ pasifae kwa ibada, mahali palipo katika bonde la wana wa Hinomu,+ ili yeyote asipitishe motoni mwana wake wala binti yake+ kwa Moleki.+

  • Isaya 30:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa maana Tofethi+ yake imepangwa kuanzia majuzi; pia imetayarishwa kwa ajili ya mfalme mwenyewe.+ Yeye amefanya fungu lake liwe na kina kirefu. Kuna moto na kuni kwa wingi. Pumzi ya Yehova, kama mto wa kiberiti, inawaka juu yake.+

  • Yeremia 7:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “‘Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘wakati halitaitwa tena Tofethi na bonde la mwana wa Hinomu, bali bonde la uuaji;+ nao watazika katika Tofethi bila ya kuwa na nafasi ya kutosha hapo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki