Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 23:1

Marejeo

  • +2Nya 34:29

2 Wafalme 23:2

Marejeo

  • +Hes 3:10
  • +1Sa 5:9; 30:2
  • +Kum 31:11
  • +Kum 31:26
  • +Kut 24:8
  • +2Fa 22:8; 2Nya 34:30

2 Wafalme 23:3

Marejeo

  • +2Fa 11:14; 2Nya 23:13
  • +Yos 24:25; 2Nya 15:12; 23:16
  • +Kum 8:19
  • +Kum 5:1
  • +Kum 4:45; 1Fa 2:3
  • +Kum 8:11; 2Fa 17:13
  • +Kum 6:5; 10:12
  • +Kum 11:13
  • +2Nya 34:31
  • +Yos 24:24; 2Nya 34:32; Yer 4:2

2 Wafalme 23:4

Marejeo

  • +2Fa 22:4; 1Nya 6:13
  • +2Fa 12:9
  • +2Fa 21:7
  • +2Nya 33:3; 34:4
  • +2Nya 34:33
  • +Yoh 18:1
  • +1Fa 12:29

2 Wafalme 23:5

Marejeo

  • +2Fa 17:16
  • +2Fa 21:3; Ayu 31:26; Yer 8:2

2 Wafalme 23:6

Marejeo

  • +Amu 3:7; 2Fa 21:7
  • +Kum 7:25; 9:21
  • +2Nya 34:4

2 Wafalme 23:7

Marejeo

  • +Law 18:22; Ro 1:27; 1Ko 6:9; 1Ti 1:10; Yud 7

2 Wafalme 23:8

Marejeo

  • +Yos 21:17; 1Fa 15:22
  • +Mwa 21:31; 1Fa 19:3

2 Wafalme 23:9

Marejeo

  • +Eze 44:10; Mal 2:8
  • +1Sa 2:36; Eze 44:29

2 Wafalme 23:10

Marejeo

  • +Isa 30:33; Yer 7:31; 19:6, 11
  • +Yos 15:8
  • +2Fa 16:3
  • +Yer 32:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1988, uku. 31

2 Wafalme 23:11

Marejeo

  • +1Sa 1:9; Ne 10:38; Yer 35:2
  • +Kum 4:19; Eze 8:16

2 Wafalme 23:12

Marejeo

  • +Yer 19:13; Sef 1:5
  • +2Fa 21:5; 2Nya 33:5

2 Wafalme 23:13

Marejeo

  • +Zek 14:4; Mdo 1:12
  • +1Fa 11:7
  • +1Fa 11:5, 33
  • +Hes 21:29; Yer 48:13
  • +Sef 1:5

2 Wafalme 23:14

Marejeo

  • +Kut 23:24; Kum 7:5; 2Nya 34:3

2 Wafalme 23:15

Marejeo

  • +1Fa 12:33
  • +1Fa 12:28; 2Nya 34:6
  • +1Fa 14:16; 15:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” kur. 68-69

2 Wafalme 23:16

Marejeo

  • +2Nya 34:5
  • +Hes 23:19; Isa 44:26
  • +1Fa 13:2

2 Wafalme 23:17

Marejeo

  • +1Fa 13:30, 31
  • +1Fa 13:1
  • +1Fa 12:33

2 Wafalme 23:18

Marejeo

  • +Isa 57:2
  • +1Fa 13:29

2 Wafalme 23:19

Marejeo

  • +1Fa 12:31; 13:32
  • +2Fa 17:9; 2Nya 34:6
  • +1Fa 13:33; 16:33; Mik 6:16
  • +2Fa 17:17; Zb 78:58; Yer 7:18
  • +1Fa 12:29; 2Fa 10:29

2 Wafalme 23:20

Marejeo

  • +Kut 22:20; Kum 13:5
  • +1Fa 13:2; 2Nya 34:5

2 Wafalme 23:21

Marejeo

  • +2Nya 35:1
  • +Kut 12:3, 14; Law 23:5; Hes 9:13; 28:16; Kum 16:1

2 Wafalme 23:22

Marejeo

  • +2Nya 35:18
  • +2Nya 30:1, 13

2 Wafalme 23:23

Marejeo

  • +2Nya 35:19

2 Wafalme 23:24

Marejeo

  • +Law 19:31; 20:27; 1Sa 28:3
  • +Kum 18:11; 2Fa 21:6; Isa 8:19; Mdo 16:16
  • +Mwa 31:19, 30; Ho. 3:4
  • +Law 26:30; Yer 10:15
  • +Kum 29:17; 1Fa 11:5, 7
  • +Hes 33:52; Kum 12:2
  • +2Fa 22:8
  • +2Nya 34:14

2 Wafalme 23:25

Marejeo

  • +2Fa 18:5
  • +Kum 4:29

2 Wafalme 23:26

Marejeo

  • +2Fa 21:12; 22:17; 2Nya 36:16
  • +2Fa 21:11; 24:4; Yer 15:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, uku. 25

2 Wafalme 23:27

Marejeo

  • +2Fa 25:11; Eze 23:33
  • +Kum 29:28; 2Fa 24:3
  • +2Fa 17:18; 18:11; 21:13
  • +Kum 12:5; 1Fa 8:29; 9:3

2 Wafalme 23:28

Marejeo

  • +1Fa 14:29; 2Fa 21:17

2 Wafalme 23:29

Marejeo

  • +2Fa 23:33; Yer 46:2
  • +Mwa 15:18
  • +2Nya 35:20; Met 26:17; Lu 14:31
  • +Isa 57:1
  • +1Fa 9:15; Zek 12:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2000, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 9/15 30

2 Wafalme 23:30

Marejeo

  • +2Nya 35:24
  • +2Nya 36:1

2 Wafalme 23:31

Marejeo

  • +1Nya 3:15; Yer 22:11
  • +2Fa 24:18

2 Wafalme 23:32

Marejeo

  • +2Fa 21:2, 21; 3Yo 11

2 Wafalme 23:33

Marejeo

  • +2Fa 23:29
  • +2Nya 36:3
  • +2Fa 25:6; Yer 39:5; 52:10, 26
  • +2Nya 36:3
  • +1Fa 16:24
  • +2Fa 18:14

2 Wafalme 23:34

Marejeo

  • +2Nya 36:4
  • +Yer 22:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, kur. 158-159

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 158

2 Wafalme 23:35

Marejeo

  • +2Fa 23:33
  • +2Fa 15:20
  • +Ro 13:1, 7

2 Wafalme 23:36

Marejeo

  • +1Nya 3:15; Yer 1:3; 22:19
  • +2Nya 36:5

2 Wafalme 23:37

Marejeo

  • +Yer 26:21; 36:24
  • +2Nya 28:25; 33:4

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 23:12Nya 34:29
2 Fal. 23:2Hes 3:10
2 Fal. 23:21Sa 5:9; 30:2
2 Fal. 23:2Kum 31:11
2 Fal. 23:2Kum 31:26
2 Fal. 23:2Kut 24:8
2 Fal. 23:22Fa 22:8; 2Nya 34:30
2 Fal. 23:32Fa 11:14; 2Nya 23:13
2 Fal. 23:3Yos 24:25; 2Nya 15:12; 23:16
2 Fal. 23:3Kum 8:19
2 Fal. 23:3Kum 5:1
2 Fal. 23:3Kum 4:45; 1Fa 2:3
2 Fal. 23:3Kum 8:11; 2Fa 17:13
2 Fal. 23:3Kum 6:5; 10:12
2 Fal. 23:3Kum 11:13
2 Fal. 23:32Nya 34:31
2 Fal. 23:3Yos 24:24; 2Nya 34:32; Yer 4:2
2 Fal. 23:42Fa 22:4; 1Nya 6:13
2 Fal. 23:42Fa 12:9
2 Fal. 23:42Fa 21:7
2 Fal. 23:42Nya 33:3; 34:4
2 Fal. 23:42Nya 34:33
2 Fal. 23:4Yoh 18:1
2 Fal. 23:41Fa 12:29
2 Fal. 23:52Fa 17:16
2 Fal. 23:52Fa 21:3; Ayu 31:26; Yer 8:2
2 Fal. 23:6Amu 3:7; 2Fa 21:7
2 Fal. 23:6Kum 7:25; 9:21
2 Fal. 23:62Nya 34:4
2 Fal. 23:7Law 18:22; Ro 1:27; 1Ko 6:9; 1Ti 1:10; Yud 7
2 Fal. 23:8Yos 21:17; 1Fa 15:22
2 Fal. 23:8Mwa 21:31; 1Fa 19:3
2 Fal. 23:9Eze 44:10; Mal 2:8
2 Fal. 23:91Sa 2:36; Eze 44:29
2 Fal. 23:10Isa 30:33; Yer 7:31; 19:6, 11
2 Fal. 23:10Yos 15:8
2 Fal. 23:102Fa 16:3
2 Fal. 23:10Yer 32:35
2 Fal. 23:111Sa 1:9; Ne 10:38; Yer 35:2
2 Fal. 23:11Kum 4:19; Eze 8:16
2 Fal. 23:12Yer 19:13; Sef 1:5
2 Fal. 23:122Fa 21:5; 2Nya 33:5
2 Fal. 23:13Zek 14:4; Mdo 1:12
2 Fal. 23:131Fa 11:7
2 Fal. 23:131Fa 11:5, 33
2 Fal. 23:13Hes 21:29; Yer 48:13
2 Fal. 23:13Sef 1:5
2 Fal. 23:14Kut 23:24; Kum 7:5; 2Nya 34:3
2 Fal. 23:151Fa 12:33
2 Fal. 23:151Fa 12:28; 2Nya 34:6
2 Fal. 23:151Fa 14:16; 15:30
2 Fal. 23:162Nya 34:5
2 Fal. 23:16Hes 23:19; Isa 44:26
2 Fal. 23:161Fa 13:2
2 Fal. 23:171Fa 13:30, 31
2 Fal. 23:171Fa 13:1
2 Fal. 23:171Fa 12:33
2 Fal. 23:18Isa 57:2
2 Fal. 23:181Fa 13:29
2 Fal. 23:191Fa 12:31; 13:32
2 Fal. 23:192Fa 17:9; 2Nya 34:6
2 Fal. 23:191Fa 13:33; 16:33; Mik 6:16
2 Fal. 23:192Fa 17:17; Zb 78:58; Yer 7:18
2 Fal. 23:191Fa 12:29; 2Fa 10:29
2 Fal. 23:20Kut 22:20; Kum 13:5
2 Fal. 23:201Fa 13:2; 2Nya 34:5
2 Fal. 23:212Nya 35:1
2 Fal. 23:21Kut 12:3, 14; Law 23:5; Hes 9:13; 28:16; Kum 16:1
2 Fal. 23:222Nya 35:18
2 Fal. 23:222Nya 30:1, 13
2 Fal. 23:232Nya 35:19
2 Fal. 23:24Law 19:31; 20:27; 1Sa 28:3
2 Fal. 23:24Kum 18:11; 2Fa 21:6; Isa 8:19; Mdo 16:16
2 Fal. 23:24Mwa 31:19, 30; Ho. 3:4
2 Fal. 23:24Law 26:30; Yer 10:15
2 Fal. 23:24Kum 29:17; 1Fa 11:5, 7
2 Fal. 23:24Hes 33:52; Kum 12:2
2 Fal. 23:242Fa 22:8
2 Fal. 23:242Nya 34:14
2 Fal. 23:252Fa 18:5
2 Fal. 23:25Kum 4:29
2 Fal. 23:262Fa 21:12; 22:17; 2Nya 36:16
2 Fal. 23:262Fa 21:11; 24:4; Yer 15:4
2 Fal. 23:272Fa 25:11; Eze 23:33
2 Fal. 23:27Kum 29:28; 2Fa 24:3
2 Fal. 23:272Fa 17:18; 18:11; 21:13
2 Fal. 23:27Kum 12:5; 1Fa 8:29; 9:3
2 Fal. 23:281Fa 14:29; 2Fa 21:17
2 Fal. 23:292Fa 23:33; Yer 46:2
2 Fal. 23:29Mwa 15:18
2 Fal. 23:292Nya 35:20; Met 26:17; Lu 14:31
2 Fal. 23:29Isa 57:1
2 Fal. 23:291Fa 9:15; Zek 12:11
2 Fal. 23:302Nya 35:24
2 Fal. 23:302Nya 36:1
2 Fal. 23:311Nya 3:15; Yer 22:11
2 Fal. 23:312Fa 24:18
2 Fal. 23:322Fa 21:2, 21; 3Yo 11
2 Fal. 23:332Fa 23:29
2 Fal. 23:332Nya 36:3
2 Fal. 23:332Fa 25:6; Yer 39:5; 52:10, 26
2 Fal. 23:332Nya 36:3
2 Fal. 23:331Fa 16:24
2 Fal. 23:332Fa 18:14
2 Fal. 23:342Nya 36:4
2 Fal. 23:34Yer 22:12
2 Fal. 23:352Fa 23:33
2 Fal. 23:352Fa 15:20
2 Fal. 23:35Ro 13:1, 7
2 Fal. 23:361Nya 3:15; Yer 1:3; 22:19
2 Fal. 23:362Nya 36:5
2 Fal. 23:37Yer 26:21; 36:24
2 Fal. 23:372Nya 28:25; 33:4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 23:1-37

2 Wafalme

23 Kisha mfalme akatuma watu, nao wakakusanya kwake wanaume wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.+ 2 Ndipo mfalme akapanda kwenda katika nyumba ya Yehova, na pia wanaume wote wa Yuda na wakaaji wote wa Yerusalemu pamoja naye, na pia makuhani+ na manabii na watu wote, kuanzia wadogo mpaka wakubwa;+ naye akaanza kusoma+ masikioni mwao maneno yote ya kile kitabu+ cha agano+ kilichokuwa kimepatikana katika nyumba ya Yehova.+ 3 Na mfalme akaendelea kusimama kando ya nguzo+ na kulifanya agano+ mbele za Yehova, ili kutembea+ kwa kumfuata Yehova na kushika amri+ zake na shuhuda+ zake na sheria+ zake kwa moyo+ wote na kwa nafsi+ yote kwa kuyatenda maneno ya agano hili yaliyoandikwa katika kitabu hiki.+ Basi watu wote wakachukua msimamo wao katika agano lile.+

4 Na mfalme akawaamuru Hilkia+ kuhani mkuu na makuhani wa daraja la pili na watunza-milango+ waondoe katika hekalu la Yehova vyombo vyote vilivyotengenezwa kwa ajili ya Baali+ na kwa ajili ya mti mtakatifu+ na kwa ajili ya jeshi lote la mbinguni.+ Ndipo akaviteketeza kwa moto nje ya Yerusalemu kwenye matuta ya Kidroni,+ naye akayapeleka mavumbi yake kule Betheli.+ 5 Naye akawaondoa kazini makuhani wa miungu ya kigeni, ambao wafalme wa Yuda walikuwa wameweka ili wapate kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu katika majiji ya Yuda na ujirani wa Yerusalemu, na pia wale wanaofukiza moshi wa dhabihu kwa Baali,+ kwa jua na kwa mwezi na kwa makundi-nyota ya unajimu na kwa jeshi lote la mbinguni.+ 6 Tena akauondoa mti mtakatifu+ katika nyumba ya Yehova mpaka nje ya Yerusalemu, kwenye bonde la mto la Kidroni, akauteketeza+ kwa moto katika bonde la mto la Kidroni na kuusaga ukawa mavumbi, akayatupa mavumbi yake juu ya makaburi+ ya wana wa watu. 7 Tena akazibomoa nyumba za wanaume makahaba wa hekaluni+ waliokuwa katika nyumba ya Yehova, mahali ambapo wanawake walikuwa wakifuma vihekalu vya mahema kwa ajili ya ule mti mtakatifu.

8 Kisha akaleta makuhani wote kutoka katika majiji ya Yuda, ili apafanye pasifae kwa ibada mahali pa juu ambapo makuhani walifukiza moshi wa dhabihu, kuanzia Geba+ mpaka Beer-sheba;+ naye akabomoa mahali pa juu pa malango yaliyokuwa katika mwingilio wa lango la Yoshua, mkuu wa jiji, ambapo palikuwa upande wa kushoto mtu anapoingia katika lango la jiji. 9 Makuhani+ wa mahali pa juu tu ndio hawakupanda mpaka kwenye madhabahu ya Yehova katika Yerusalemu, lakini walikula keki zisizo na chachu+ katikati ya ndugu zao. 10 Naye akafanya Tofethi+ pasifae kwa ibada, mahali palipo katika bonde la wana wa Hinomu,+ ili yeyote asipitishe motoni mwana wake wala binti yake+ kwa Moleki.+ 11 Na zaidi ya hayo, akafanya wale farasi ambao wafalme wa Yuda walikuwa wametoa kwa ajili ya jua wakome kuingia katika nyumba ya Yehova kupitia chumba cha kulia+ chakula cha Nathan-meleki ofisa wa makao ya mfalme, kilichokuwa katika roshani; naye akateketeza kwa moto magari ya jua.+ 12 Na madhabahu zilizokuwa juu ya paa ya chumba cha dari+ cha Ahazi ambazo wafalme wa Yuda walitengeneza, na madhabahu+ ambazo Manase alitengeneza katika nyua mbili za nyumba ya Yehova, mfalme akazibomoa, kisha akaziponda hapo, naye akatupa mavumbi yake katika bonde la mto la Kidroni. 13 Na mahali pa juu palipokuwa mbele+ ya Yerusalemu, palipokuwa upande wa kuume wa Mlima wa Uharibifu, ambapo Sulemani+ mfalme wa Israeli alijenga kwa ajili ya Ashtorethi+ chukizo la Wasidoni na kwa ajili ya Kemoshi+ chukizo la Moabu na kwa ajili ya Milkomu+ chukizo la wana wa Amoni, mfalme akapafanya pasifae kwa ibada. 14 Naye akavunja+ vipande-vipande zile nguzo takatifu, akaikata miti mitakatifu na mahali pake akajaza mifupa ya binadamu. 15 Na pia madhabahu iliyokuwa katika Betheli,+ mahali pa juu ambapo Yeroboamu+ mwana wa Nebati alitengeneza, ambaye alisababisha Israeli watende dhambi,+ hata akabomoa hiyo madhabahu na pale mahali pa juu. Kisha akapateketeza kwa moto mahali pa juu; akapasaga pakawa mavumbi na kuuteketeza kwa moto ule mti mtakatifu.

16 Yosia alipogeuka, akayaona makaburi yaliyokuwa hapo mlimani. Kwa hiyo akatuma watu kuichukua mifupa kutoka katika makaburi hayo, akaiteketeza+ kwa moto juu ya ile madhabahu, ili aifanye isifae kwa ibada, kulingana na neno la Yehova+ alilotangaza+ yule mtu wa Mungu wa kweli, aliyetangaza mambo hayo. 17 Kisha akasema: “Lile jiwe la kaburi ninaloona pale ni gani?” Ndipo watu wa jiji lile wakamwambia: “Ni kaburi+ la yule mtu wa Mungu wa kweli aliyekuja kutoka Yuda,+ akatangaza mambo haya ambayo umefanya juu ya madhabahu ya Betheli.”+ 18 Kwa hiyo akasema: “Acheni apumzike.+ Yeyote asiisumbue mifupa yake.” Basi wakaiacha mifupa yake pamoja na mifupa ya yule nabii+ aliyetoka katika Samaria.

19 Na pia nyumba+ zote za mahali pa juu zilizokuwa katika majiji+ ya Samaria ambazo wafalme+ wa Israeli walijenga ili kusababisha uchungu+ Yosia akaziondoa, naye akazitendea kulingana na matendo yote aliyotenda kule Betheli.+ 20 Basi akawatoa dhabihu juu ya hizo madhabahu makuhani+ wote wa mahali pa juu waliokuwa pale, akateketeza kwa moto mifupa ya binadamu juu yake.+ Ndipo akarudi Yerusalemu.

21 Basi mfalme akawaamuru watu wote, akisema: “Fanyeni pasaka+ kwa Yehova, Mungu wenu, kulingana na yale yaliyoandikwa katika kitabu hiki cha agano.”+ 22 Kwa maana pasaka kama hii haikuwa imefanywa kuanzia siku za waamuzi waliokuwa wamehukumu Israeli,+ wala siku zote za wafalme wa Israeli na wafalme wa Yuda.+ 23 Lakini katika mwaka wa kumi na nane wa Mfalme Yosia pasaka hii ilifanywa kwa Yehova katika Yerusalemu.+

24 Na pia wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio na terafimu+ na sanamu za mavi+ na machukizo+ yote yaliyokuwa yametokea katika nchi ya Yuda na katika Yerusalemu, Yosia akaondoa, ili atende maneno ya sheria+ yaliyoandikwa katika kile kitabu+ ambacho Hilkia kuhani alipata katika nyumba ya Yehova.+ 25 Na hapakuwa na mfalme kama yeye aliyemtangulia ambaye alirudi+ kwa Yehova kwa moyo wake wote na kwa nafsi yake yote+ na kwa nguvu zake zote, kulingana na sheria yote ya Musa; wala baada yake hapajatokea yeyote aliye kama yeye.

26 Hata hivyo, Yehova hakugeuka aiache hasira yake kali inayowaka, hiyo hasira yake ambayo iliwaka juu ya Yuda+ kwa sababu ya mambo yote yenye kutia uchungu ambayo Manase alisababisha watie uchungu.+ 27 Lakini Yehova akasema: “Nitaondoa Yuda+ pia mbele za macho yangu,+ kama nilivyoondoa Israeli;+ nami nitalikataa jiji hili ambalo nimechagua, naam, Yerusalemu, na nyumba ambayo nimesema hivi kuihusu, ‘Jina langu litaendelea kuwa humo.’”+

28 Kwa habari ya mambo mengine ya Yosia na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 29 Katika siku zake Farao Neko+ mfalme wa Misri alipanda kuja kwa mfalme wa Ashuru kando ya mto Efrati,+ na Mfalme Yosia akaenda kukutana naye;+ lakini akamuua+ kule Megido+ mara tu alipomwona. 30 Basi watumishi wake wakamsafirisha katika gari kutoka Megido akiwa amekufa, wakamleta Yerusalemu,+ wakamzika katika kaburi lake. Kisha watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi+ mwana wa Yosia wakamtia mafuta na kumfanya kuwa mfalme mahali pa baba yake.

31 Yehoahazi+ alikuwa na umri wa miaka 23 alipoanza kutawala, naye akatawala miezi mitatu katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Hamutali+ binti ya Yeremia kutoka Libna. 32 Naye akaanza kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kulingana na yote ambayo mababu zake walifanya.+ 33 Na Farao Neko+ akamtia kifungoni+ kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi, ili kumzuia asitawale katika Yerusalemu, kisha akaitoza+ nchi talanta mia moja za fedha+ na talanta moja ya dhahabu.+ 34 Zaidi ya hayo, Farao Neko akamfanya Eliakimu+ mwana wa Yosia kuwa mfalme mahali pa Yosia baba yake na kulibadili jina lake kuwa Yehoyakimu; naye akamchukua Yehoahazi na kumpeleka Misri, naye akafa huko mwishowe.+ 35 Na Yehoyakimu akampa Farao fedha+ na dhahabu. Ila tu aliitoza nchi kodi,+ ili atoe fedha kwa agizo la Farao. Kulingana na kiwango cha kodi cha kila mmoja+ akatoza fedha na dhahabu kutoka kwa watu wa nchi, ili kumpa Farao Neko.

36 Yehoyakimu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu.+ Na jina la mama yake lilikuwa Zebida binti ya Pedaya kutoka Ruma. 37 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, kulingana na yote ambayo mababu zake walifanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki