17 nao wakaendelea kuwapitisha motoni+ wana wao na binti zao na kufanya uaguzi+ na kutafuta ishara za bahati,+ nao wakaendelea kujiuza+ ili kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, ili kumtia uchungu;+
18 Wana wanaokota kuni, na akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumfanyia ‘malkia wa mbingu’ keki za dhabihu;+ na miungu mingine inamiminiwa matoleo ya kinywaji+ kusudi wanitie uchungu.+