Yeremia 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wana wanakusanya kuni, akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumwokea Malkia wa Mbinguni*+ keki za dhabihu, nao wanaimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji ili wanikasirishe.+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:18 Mnara wa Mlinzi,4/1/1988, kur. 13, 19
18 Wana wanakusanya kuni, akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumwokea Malkia wa Mbinguni*+ keki za dhabihu, nao wanaimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji ili wanikasirishe.+