Yeremia 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wana wanaokota kuni, na akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumfanyia ‘malkia wa mbingu’ keki za dhabihu;+ na miungu mingine inamiminiwa matoleo ya kinywaji+ kusudi wanitie uchungu.+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:18 Mnara wa Mlinzi,4/1/1988, kur. 13, 19
18 Wana wanaokota kuni, na akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumfanyia ‘malkia wa mbingu’ keki za dhabihu;+ na miungu mingine inamiminiwa matoleo ya kinywaji+ kusudi wanitie uchungu.+