8 Kwa maana Yerusalemu limejikwaa na Yuda imeanguka,+ kwa sababu ulimi wao na matendo yao yanapingana na Yehova,+ katika kujiendesha kwa uasi machoni pa utukufu wake.+
3 watu ambao washiriki wake ni wale wanaonitia uchungu+ mbele za uso wangu daima, wakiwa wanatoa dhabihu katika bustani+ na kufukiza moshi wa dhabihu+ juu ya matofali,