Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana Yerusalemu limejikwaa na Yuda imeanguka,+ kwa sababu ulimi wao na matendo yao yanapingana na Yehova,+ katika kujiendesha kwa uasi machoni pa utukufu wake.+

  • Isaya 65:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 watu ambao washiriki wake ni wale wanaonitia uchungu+ mbele za uso wangu daima, wakiwa wanatoa dhabihu katika bustani+ na kufukiza moshi wa dhabihu+ juu ya matofali,

  • Yeremia 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Lakini hamkunisikiliza mimi,’ asema Yehova, ‘kusudi mnitie uchungu kwa kazi ya mikono yenu, ili kujiletea wenyewe msiba.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki