Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 73:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wao hudhihaki na kuzungumza juu ya yaliyo mabaya;+

      Wanazungumza juu ya upunjaji kwa majivuno.+

  • Ezekieli 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo akaniambia: “Kosa la nyumba ya Israeli na Yuda+ ni kubwa, kubwa sana,+ na nchi imejaa umwagaji wa damu+ nalo jiji limejaa upotovu;+ kwa maana wamesema, ‘Yehova ameiacha nchi hii,+ na Yehova haoni.’+

  • Malaki 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Maneno yenu yamekuwa yenye nguvu kinyume changu,”+ Yehova amesema.

      Nanyi mmesema: “Sisi tumesemezana nini kinyume chako?”+

  • Mathayo 12:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Ninawaambia ninyi kwamba kila neno lisilofaa ambalo watu husema, watatoa hesabu+ juu yake katika Siku ya Hukumu;

  • Yuda 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 ili kufanya hukumu juu ya wote,+ na kuwathibitisha kuwa ni wenye hatia wote wasiomwogopa Mungu kuhusu matendo yao yote ya kutomwogopa Mungu ambayo walitenda kwa njia ya kutomwogopa Mungu, na kuhusu mambo yote ya kushtua ambayo watenda-dhambi wasiomwogopa Mungu walisema juu yake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki