Zaburi 53:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu na kutenda kwa njia yenye kuchukiza katika ukosefu wa uadilifu;+Hakuna yeyote anayefanya mema.+ 2 Petro 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.
53 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu na kutenda kwa njia yenye kuchukiza katika ukosefu wa uadilifu;+Hakuna yeyote anayefanya mema.+
18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.