Zaburi 53:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao maovu yamepotoka na yanachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+ Zaburi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 53:1 w06 6/1 9-10; w97 10/1 6-7 Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 53:1 Mnara wa Mlinzi,6/1/2006, kur. 9-1010/1/1997, kur. 6-7
53 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao maovu yamepotoka na yanachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+