Zaburi 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wote wamegeuka kando,+ wote ni wafisadi kwa njia ileile;+Hakuna yeyote anayefanya mema,+Hakuna hata mmoja.+ Waroma 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwanadamu mwadilifu, hakuna hata mmoja;+
3 Wote wamegeuka kando,+ wote ni wafisadi kwa njia ileile;+Hakuna yeyote anayefanya mema,+Hakuna hata mmoja.+ Waroma 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwanadamu mwadilifu, hakuna hata mmoja;+