Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa sababu ya kujigamba kwake, mwovu hatafuti;+

      Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+

  • Zaburi 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:

      “Hakuna Yehova.”+

      Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.

      Hakuna yeyote anayefanya mema.+

  • Zaburi 92:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mtu yeyote asiyetumia akili hawezi kuzijua,+

      Wala yeyote aliye mjinga hawezi kuelewa hili.+

  • Waroma 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa sababu, ijapokuwa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kuwa Mungu wala hawakumshukuru,+ bali wakawa wajinga+ katika kufikiri kwao na moyo wao usio na ufahamu ukaingiwa na giza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki