- 
	                        
            
            Zaburi 14:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        2 Kutoka mbinguni Yehova amewatazama wana wa binadamu walio chini,+ Ili aone kama kuna yeyote ambaye ana ufahamu, yeyote anayemtafuta Yehova.+ - 
	                        
            
            Yeremia 2:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        6 Nao hawakusema, ‘Yehova yuko wapi, Yeye aliyetupandisha kutoka katika nchi ya Misri,+ Yeye aliyetutembeza kupitia nyikani, kupitia nchi tambarare ya jangwani+ na shimo, kupitia nchi isiyo na maji+ na yenye kivuli kizito,+ kupitia nchi ambayo mwanadamu yeyote hakupita ndani yake na ambayo hakuna mtu wa udongo aliyekaa ndani yake?’ 
 
- 
                                        
 
- 
	                        
            
            
 
-