13 Na kwamba umsahau Yehova Mtengenezaji wako,+ Yeye anayezitandaza mbingu+ na kuweka msingi wa dunia,+ hivi kwamba ulikuwa na hofu sikuzote mchana kutwa kwa sababu ya ghadhabu ya mtu anayekusonga,+ kana kwamba alikuwa amejitayarisha kukuangamiza?+ Na iko wapi ghadhabu ya yule anayekusonga?+
11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+