65 Na kati ya mataifa hayo hutakuwa na starehe yoyote,+ wala hakutakuwa na mahali popote pa kupumzika kwa ajili ya wayo wa mguu wako; naye Yehova kwa kweli atakupa huko moyo wa kutetemeka+ na kufifia kwa macho+ na kukata tamaa kwa nafsi.
7 Na itakuwa tu kama katika ndoto, katika maono ya usiku, kuhusu ule umati wa mataifa yote yanayopiga vita juu ya Arieli,+ wale wote wanaopiga vita juu yake, na minara ya kumzingira na wale wanaofanya mambo yawe magumu kwake.+