Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na kila kiumbe kilicho mbinguni na juu ya dunia na chini ya dunia+ na juu ya bahari, na vitu vyote vilivyo ndani ya hivyo, nikasikia vikisema: “Kwake Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme+ na kwa Mwana-Kondoo+ kuwe na baraka na heshima+ na utukufu+ na nguvu milele na milele.”

  • Ufunuo 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 wakisema: “Amina! Baraka na utukufu na hekima na kutoa shukrani na heshima na uwezo na nguvu+ ziwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amina.”+

  • Ufunuo 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 wakisema: “Tunakushukuru wewe,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote,+ Yeye aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu+ na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+

  • Ufunuo 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nikaisikia sauti kubwa mbinguni ikisema:

      “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu+ na ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake,+ kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki