-
Ufunuo 5:13Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
13 Na kila kiumbe kilichomo mbinguni na juu ya dunia na chini ya dunia na juu ya bahari, na vitu vyote ndani yavyo, nikasikia vikisema: “Kwake Yeye anayekaa juu ya hicho kiti cha ufalme na kwa Mwana-Kondoo kuwe na baraka na heshima na utukufu na uweza milele na milele.”
-