Zaburi 99:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 99 Yehova amekuwa mfalme.+ Vikundi vya watu na vifadhaike.+Anaketi juu ya makerubi.+ Dunia na itetemeke.+ Zekaria 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Yehova atakuwa mfalme juu ya dunia yote.+ Katika siku hiyo Yehova atakuwa mmoja,+ na jina lake litakuwa moja.+ Ufunuo 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+
99 Yehova amekuwa mfalme.+ Vikundi vya watu na vifadhaike.+Anaketi juu ya makerubi.+ Dunia na itetemeke.+
9 Na Yehova atakuwa mfalme juu ya dunia yote.+ Katika siku hiyo Yehova atakuwa mmoja,+ na jina lake litakuwa moja.+
6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+