Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 97:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 97 Yehova amekuwa mfalme!+ Dunia na ishangilie.+

      Na vile visiwa vingi vishangilie.+

  • Isaya 52:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Jinsi inavyopendeza juu ya milima miguu+ ya yeye anayeleta habari njema,+ yeye anayetangaza amani,+ yeye anayeleta habari njema za jambo bora,+ yeye anayetangaza wokovu,+ yeye anayeuambia Sayuni: “Mungu wako amekuwa mfalme!”+

  • Danieli 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nikaendelea kutazama mpaka viti vya ufalme vikawekwa+ na Mzee wa Siku+ akaketi. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji,+ na nywele za kichwa chake zilikuwa kama sufu safi.+ Kiti chake cha ufalme kilikuwa ni miali ya moto;+ magurudumu yake yalikuwa ni moto unaowaka.+

  • Ufunuo 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikatokea mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana+ wetu na wa Kristo+ wake, naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki