Zaburi 145:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ufalme wako ni ufalme kwa nyakati zote zisizo na kipimo,+Na mamlaka yako ni ya kuendelea mpaka vizazi vyote vinavyofuata.+ Danieli 2:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+
13 Ufalme wako ni ufalme kwa nyakati zote zisizo na kipimo,+Na mamlaka yako ni ya kuendelea mpaka vizazi vyote vinavyofuata.+
44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+