Zaburi 146:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova atakuwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo,+Mungu wako, Ee Sayuni, kwa kizazi baada ya kizazi.+Msifuni Yah!+ Yeremia 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni nani ambaye hapaswi kukuogopa,+ Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana inafaa kwako; kwa sababu kati ya wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote kwa vyovyote hakuna yeyote aliye kama wewe.+ 1 Timotheo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika,+ asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele.+ Amina.
10 Yehova atakuwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo,+Mungu wako, Ee Sayuni, kwa kizazi baada ya kizazi.+Msifuni Yah!+
7 Ni nani ambaye hapaswi kukuogopa,+ Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana inafaa kwako; kwa sababu kati ya wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote kwa vyovyote hakuna yeyote aliye kama wewe.+
17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika,+ asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele.+ Amina.