Zaburi 117:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana fadhili zake zenye upendo zimekuwa zenye nguvu kwetu sisi;+Na ukweli+ wa Yehova ni wa mpaka wakati usio na kipimo.Msifuni Yah!+ Ufunuo 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na mara moja, kwa mara ya pili wakasema:+ “Msifuni Yah! Na moshi kutoka kwake unaendelea kupanda milele na milele.”+
2 Kwa maana fadhili zake zenye upendo zimekuwa zenye nguvu kwetu sisi;+Na ukweli+ wa Yehova ni wa mpaka wakati usio na kipimo.Msifuni Yah!+
3 Na mara moja, kwa mara ya pili wakasema:+ “Msifuni Yah! Na moshi kutoka kwake unaendelea kupanda milele na milele.”+