Zaburi 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mapito yote ya Yehova ni fadhili zenye upendo na ukweliKwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+ Zaburi 71:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mimi pia, nitakusifu kwa chombo cha kinanda,+Kuhusu ukweli wako, Ee Mungu wangu.+Nitakupigia muziki kwa kinubi, Ee Mtakatifu wa Israeli.+ Zaburi 91:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa manyoya yake ataweka kizuizi usiweze kufikiwa,+Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+Ukweli+ wake utakuwa ngao+ kubwa na boma. Isaya 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na itatukia hakika katika siku hiyo kwamba yale mabaki ya Israeli+ na wale walioponyoka wa nyumba ya Yakobo hawatamtegemea tena kamwe yule anayewapiga,+ nao hakika watamtegemea Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ katika ukweli.+ Luka 1:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 sawa na vile alivyowaambia mababu zetu, Abrahamu na uzao wake, milele.”+
10 Mapito yote ya Yehova ni fadhili zenye upendo na ukweliKwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+
22 Mimi pia, nitakusifu kwa chombo cha kinanda,+Kuhusu ukweli wako, Ee Mungu wangu.+Nitakupigia muziki kwa kinubi, Ee Mtakatifu wa Israeli.+
4 Kwa manyoya yake ataweka kizuizi usiweze kufikiwa,+Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+Ukweli+ wake utakuwa ngao+ kubwa na boma.
20 Na itatukia hakika katika siku hiyo kwamba yale mabaki ya Israeli+ na wale walioponyoka wa nyumba ya Yakobo hawatamtegemea tena kamwe yule anayewapiga,+ nao hakika watamtegemea Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ katika ukweli.+