Zaburi 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wewe mwenyewe, Ee Yehova, usinizuilie huruma zako.+Fadhili zako zenye upendo na ukweli wako zinilinde daima.+ Zaburi 57:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Atatuma kutoka mbinguni na kuniokoa.+Hakika atamvuruga yule anayenitanulia kinywa.+ Sela.Mungu atatuma fadhili zake zenye upendo na ukweli wake.+ Zaburi 61:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Atakaa mpaka wakati usio na kipimo mbele za Mungu;+Uagize fadhili zenye upendo na ukweli, ili zipate kumlinda.+ Zaburi 86:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na mwenye neema,+Si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi wa fadhili zenye upendo na ukweli.+ Methali 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Fadhili zenye upendo na ukweli—hizo humlinda mfalme;+ na kwa fadhili zenye upendo amedumisha kiti chake cha ufalme.+
11 Wewe mwenyewe, Ee Yehova, usinizuilie huruma zako.+Fadhili zako zenye upendo na ukweli wako zinilinde daima.+
3 Atatuma kutoka mbinguni na kuniokoa.+Hakika atamvuruga yule anayenitanulia kinywa.+ Sela.Mungu atatuma fadhili zake zenye upendo na ukweli wake.+
7 Atakaa mpaka wakati usio na kipimo mbele za Mungu;+Uagize fadhili zenye upendo na ukweli, ili zipate kumlinda.+
15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na mwenye neema,+Si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi wa fadhili zenye upendo na ukweli.+
28 Fadhili zenye upendo na ukweli—hizo humlinda mfalme;+ na kwa fadhili zenye upendo amedumisha kiti chake cha ufalme.+