Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Naikabidhi roho yangu mkononi mwako.+

      Umenikomboa,+ Ee Yehova Mungu wa ukweli.+

  • Zaburi 130:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Israeli na aendelee kumngojea Yehova.+

      Kwa maana kuna fadhili zenye upendo kwa Yehova,+

      Na ndivyo kulivyo na ukombozi mwingi kwake.+

  • Zaburi 145:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova ni mwenye neema na mwenye rehema,+

      Si mwepesi wa hasira naye ni mkuu katika fadhili zenye upendo.+

  • Yoeli 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu;+ rudini kwa Yehova Mungu wenu, kwa maana yeye ana neema na rehema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo,+ naye hakika atajuta kwa sababu ya msiba huo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki