Yoeli 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu,+Nanyi mrudi kwa Yehova Mungu wenu,Kwa maana ni mwenye huruma* na rehema, si mwepesi wa hasira,+ naye ana upendo mwingi mshikamanifu,+Naye atafikiria upya* msiba aliokusudia kuleta. Yoeli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:13 w98 5/1 15-16 Yoeli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:13 Mnara wa Mlinzi,5/1/1998, kur. 15-163/15/1989, uku. 30
13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu,+Nanyi mrudi kwa Yehova Mungu wenu,Kwa maana ni mwenye huruma* na rehema, si mwepesi wa hasira,+ naye ana upendo mwingi mshikamanifu,+Naye atafikiria upya* msiba aliokusudia kuleta.