Zaburi 86:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Na fadhili zenye upendo ni nyingi kwa wale wote wanaokuitia.+ Waroma 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Sheria+ iliingia kando ya hali hiyo ili makosa yazidi.+ Lakini mahali ambapo dhambi ilizidi,+ fadhili zisizostahiliwa+ zilizidi hata zaidi.
5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Na fadhili zenye upendo ni nyingi kwa wale wote wanaokuitia.+
20 Basi Sheria+ iliingia kando ya hali hiyo ili makosa yazidi.+ Lakini mahali ambapo dhambi ilizidi,+ fadhili zisizostahiliwa+ zilizidi hata zaidi.