Zaburi 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda-dhambi katika ile njia.+ Zaburi 145:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova ni mwema kwa wote,+Na rehema zake ziko juu ya kazi zake zote.+ Luka 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila mmoja, Mungu.+