17 Kwa maana lo! jinsi ulivyo mkuu wema wake,+ na jinsi ulivyo mkuu uzuri wake!+ Nafaka ndiyo itakayowasitawisha vijana, na divai mpya nayo itawasitawisha mabikira.”+
17 ijapokuwa, kwa kweli, hakujiacha mwenyewe bila ushahidi kwa kuwa alitenda mema,+ akiwapa ninyi mvua+ kutoka mbinguni na majira yenye kuzaa matunda, akijaza mioyo yenu kikamili kwa chakula na uchangamfu.”+