Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 92:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ili kutangaza kwamba Yehova ni mnyoofu.+

      Yeye ni Mwamba wangu,+ ambaye ndani yake hamna ukosefu wowote wa uadilifu.+

  • Zaburi 119:68
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  68 Wewe ni mwema nawe unatenda mema.+

      Unifundishe masharti yako.+

  • Zaburi 145:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yehova ni mwema kwa wote,+

      Na rehema zake ziko juu ya kazi zake zote.+

  • Nahumu 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova ni mwema,+ yeye ni ngome+ katika siku ya taabu.+

      Naye hutambua wale wanaotafuta kimbilio kwake.+

  • Zekaria 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana lo! jinsi ulivyo mkuu wema wake,+ na jinsi ulivyo mkuu uzuri wake!+ Nafaka ndiyo itakayowasitawisha vijana, na divai mpya nayo itawasitawisha mabikira.”+

  • Matendo 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ijapokuwa, kwa kweli, hakujiacha mwenyewe bila ushahidi kwa kuwa alitenda mema,+ akiwapa ninyi mvua+ kutoka mbinguni na majira yenye kuzaa matunda, akijaza mioyo yenu kikamili kwa chakula na uchangamfu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki