Zaburi 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda-dhambi katika ile njia.+ Zaburi 136:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Mathayo 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akamwambia: “Kwa nini unaniuliza juu ya lililo jema?+ Kuna mmoja tu aliye mwema. Ingawa hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+
136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
17 Akamwambia: “Kwa nini unaniuliza juu ya lililo jema?+ Kuna mmoja tu aliye mwema. Ingawa hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+