Zaburi 106:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 106 Msifuni Yah!+Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 107:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 107 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+ Luka 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila mmoja, Mungu.+
106 Msifuni Yah!+Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+
107 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+