Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema,+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Ezra 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakaanza kuitikia kwa kumsifu+ na kumtolea Yehova shukrani, “kwa kuwa yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo kwa Israeli ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+ Nao watu wote wakapaaza sauti+ kubwa kwa kumsifu Yehova juu ya kuwekwa kwa msingi wa nyumba ya Yehova.

  • Zaburi 107:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 107 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Luka 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila mmoja, Mungu.+

  • 1 Wathesalonike 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kuhusiana na kila jambo toeni shukrani.+ Kwa maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu katika muungano na Kristo Yesu kwa habari yenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki