Zaburi 103:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini fadhili zenye upendo za Yehova ni za tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo+Kuwaelekea wale wanaomwogopa,+Na uadilifu wake kwa wana wa wana,+ Luka 1:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 na kwa vizazi baada ya vizazi rehema yake iko juu ya wale wanaomwogopa.+
17 Lakini fadhili zenye upendo za Yehova ni za tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo+Kuwaelekea wale wanaomwogopa,+Na uadilifu wake kwa wana wa wana,+ Luka 1:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 na kwa vizazi baada ya vizazi rehema yake iko juu ya wale wanaomwogopa.+