Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na ikawa kwamba mara tu wapiga-tarumbeta na waimbaji walipokuwa kama mtu mmoja+ kwa kutokeza sauti moja isikike katika kumsifu na kumshukuru Yehova, na mara tu walipopaaza sauti kwa tarumbeta na kwa matoazi na kwa vyombo vya nyimbo+ na kwa kumsifu+ Yehova, “kwa maana yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo+ ni za mpaka wakati usio na kipimo,” nyumba ile ikajaa wingu,+ nyumba ya Yehova,+

  • Luka 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila mmoja, Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki