Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 5:1

Marejeo

  • +1Fa 6:38; 7:51
  • +1Nya 22:14
  • +1Nya 26:26; Mt 23:17

2 Mambo ya Nyakati 5:2

Marejeo

  • +1Fa 8:1
  • +Kum 1:13
  • +1Nya 24:6, 31; 2Nya 1:2
  • +Kut 25:10; Hes 10:33
  • +2Sa 6:12; 2Nya 1:4
  • +2Sa 5:7, 9
  • +Zb 2:6; Isa 35:10; Mt 21:5

2 Mambo ya Nyakati 5:3

Marejeo

  • +Law 23:34; 1Fa 8:2; 2Nya 7:8

2 Mambo ya Nyakati 5:4

Marejeo

  • +Yos 23:2
  • +Kut 25:14; Hes 4:15; 1Nya 15:15

2 Mambo ya Nyakati 5:5

Marejeo

  • +Kut 37:1
  • +Kut 40:35; Hes 4:31
  • +Hes 4:15; 1Fa 7:48
  • +1Fa 8:4

2 Mambo ya Nyakati 5:6

Marejeo

  • +2Sa 6:13; 1Fa 8:5

2 Mambo ya Nyakati 5:7

Marejeo

  • +1Fa 6:23
  • +1Fa 6:20
  • +1Fa 8:6

2 Mambo ya Nyakati 5:8

Marejeo

  • +Kut 25:14
  • +1Fa 8:7

2 Mambo ya Nyakati 5:9

Marejeo

  • +1Fa 8:8

2 Mambo ya Nyakati 5:10

Marejeo

  • +Kut 34:1; 40:20; Kum 10:2
  • +Kum 4:15
  • +Kut 19:5; 24:7; Kum 29:1; 2Nya 6:11; Yer 31:32
  • +Kut 19:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2006, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 1/15 31

2 Mambo ya Nyakati 5:11

Marejeo

  • +Kut 19:10; Hes 8:21; 2Nya 29:34; 30:24
  • +1Nya 24:1; 2Nya 35:4

2 Mambo ya Nyakati 5:12

Marejeo

  • +1Nya 15:16; 16:4; 23:3; 25:1; 2Nya 29:25; Ezr 3:10
  • +1Nya 6:39; 15:19
  • +1Nya 6:33; 15:17; 25:6
  • +1Nya 16:41; 25:3
  • +1Nya 15:16
  • +2Sa 6:5
  • +2Nya 9:11
  • +1Nya 15:24

2 Mambo ya Nyakati 5:13

Marejeo

  • +Isa 52:8; Flp 1:27
  • +Zb 69:30
  • +Zb 84:4
  • +1Nya 16:34; 2Nya 7:10
  • +Kut 34:6
  • +1Fa 8:10
  • +Kut 40:34; 1Fa 8:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1994, uku. 10

2 Mambo ya Nyakati 5:14

Marejeo

  • +Kut 40:35; 2Nya 7:2
  • +Kut 16:10; Eze 10:4; Ufu 21:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1994, uku. 10

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 5:11Fa 6:38; 7:51
2 Nya. 5:11Nya 22:14
2 Nya. 5:11Nya 26:26; Mt 23:17
2 Nya. 5:21Fa 8:1
2 Nya. 5:2Kum 1:13
2 Nya. 5:21Nya 24:6, 31; 2Nya 1:2
2 Nya. 5:2Kut 25:10; Hes 10:33
2 Nya. 5:22Sa 6:12; 2Nya 1:4
2 Nya. 5:22Sa 5:7, 9
2 Nya. 5:2Zb 2:6; Isa 35:10; Mt 21:5
2 Nya. 5:3Law 23:34; 1Fa 8:2; 2Nya 7:8
2 Nya. 5:4Yos 23:2
2 Nya. 5:4Kut 25:14; Hes 4:15; 1Nya 15:15
2 Nya. 5:5Kut 37:1
2 Nya. 5:5Kut 40:35; Hes 4:31
2 Nya. 5:5Hes 4:15; 1Fa 7:48
2 Nya. 5:51Fa 8:4
2 Nya. 5:62Sa 6:13; 1Fa 8:5
2 Nya. 5:71Fa 6:23
2 Nya. 5:71Fa 6:20
2 Nya. 5:71Fa 8:6
2 Nya. 5:8Kut 25:14
2 Nya. 5:81Fa 8:7
2 Nya. 5:91Fa 8:8
2 Nya. 5:10Kut 34:1; 40:20; Kum 10:2
2 Nya. 5:10Kum 4:15
2 Nya. 5:10Kut 19:5; 24:7; Kum 29:1; 2Nya 6:11; Yer 31:32
2 Nya. 5:10Kut 19:1
2 Nya. 5:11Kut 19:10; Hes 8:21; 2Nya 29:34; 30:24
2 Nya. 5:111Nya 24:1; 2Nya 35:4
2 Nya. 5:121Nya 15:16; 16:4; 23:3; 25:1; 2Nya 29:25; Ezr 3:10
2 Nya. 5:121Nya 6:39; 15:19
2 Nya. 5:121Nya 6:33; 15:17; 25:6
2 Nya. 5:121Nya 16:41; 25:3
2 Nya. 5:121Nya 15:16
2 Nya. 5:122Sa 6:5
2 Nya. 5:122Nya 9:11
2 Nya. 5:121Nya 15:24
2 Nya. 5:13Isa 52:8; Flp 1:27
2 Nya. 5:13Zb 69:30
2 Nya. 5:13Zb 84:4
2 Nya. 5:131Nya 16:34; 2Nya 7:10
2 Nya. 5:13Kut 34:6
2 Nya. 5:131Fa 8:10
2 Nya. 5:13Kut 40:34; 1Fa 8:11
2 Nya. 5:14Kut 40:35; 2Nya 7:2
2 Nya. 5:14Kut 16:10; Eze 10:4; Ufu 21:23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 5:1-14

2 Mambo ya Nyakati

5 Mwishowe kazi yote ambayo Sulemani alipaswa kufanya kwa ajili ya nyumba ya Yehova ikamalizika,+ na Sulemani akaanza kuingiza vitu ambavyo Daudi baba yake alivifanya kuwa vitakatifu;+ naye akaweka fedha na dhahabu na vyombo vyote katika hazina za nyumba ya Mungu wa kweli.+ 2 Ndipo Sulemani akaanza kuwakusanya katika Yerusalemu wanaume wazee wa Israeli+ na vichwa vyote vya makabila,+ wakuu wa nyumba za ukoo wa upande wa baba+ za wana wa Israeli, ili kulileta sanduku+ la agano la Yehova kutoka+ katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+ 3 Basi watu wote wa Israeli wakakusanyika kwa mfalme kwenye sherehe, ile ya mwezi wa saba.+

4 Basi wanaume wote wazee wa Israeli wakaja,+ na Walawi wakaanza kulichukua Sanduku.+ 5 Nao wakalipandisha Sanduku+ na hema la mkutano+ na vyombo vyote vitakatifu+ vilivyokuwa katika hema. Makuhani Walawi wakavipandisha.+ 6 Na Mfalme Sulemani na kusanyiko lote la Waisraeli, waliokutana naye kwa wakati uliowekwa mbele ya lile Sanduku walikuwa wakitoa dhabihu+ za kondoo na ng’ombe ambao hawangeweza kuhesabiwa kwa sababu ya wingi. 7 Ndipo makuhani wakaliingiza sanduku la agano la Yehova mahali pake, ndani ya chumba cha ndani kabisa+ cha nyumba, ndani ya Patakatifu Zaidi,+ chini ya mabawa ya wale makerubi.+ 8 Basi makerubi waliendelea kunyoosha mabawa yao juu ya mahali pa lile Sanduku, hivi kwamba makerubi walilifunika Sanduku na miti yake+ kutoka juu.+ 9 Lakini ile miti ilikuwa mirefu, hivi kwamba ncha za miti hiyo zilionekana katika Patakatifu mbele ya chumba cha ndani kabisa, lakini hazikuonekana nje, nayo iko hapo mpaka leo hii.+ 10 Hamkuwa na chochote ndani ya lile Sanduku ila yale mabamba+ mawili ambayo Musa aliwapa katika Horebu,+ wakati Yehova alipofanya agano+ na wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri.+

11 Na ikawa kwamba makuhani walipoondoka mahali patakatifu (kwa maana makuhani wote waliopatikana walikuwa wamejitakasa+—hapakuwa na uhitaji wa kufuata ile migawanyo);+ 12 na Walawi+ waliokuwa waimbaji wa wote hawa, yaani, wa Asafu,+ wa Hemani,+ wa Yeduthuni+ na wa wana wao na wa ndugu zao, waliovaa mavazi ya kitambaa laini pamoja na matoazi+ na vinanda+ na vinubi,+ walikuwa wamesimama upande wa mashariki wa ile madhabahu na pamoja nao makuhani wenye kufikia hesabu ya 120 wakipiga tarumbeta;+ 13 na ikawa kwamba mara tu wapiga-tarumbeta na waimbaji walipokuwa kama mtu mmoja+ kwa kutokeza sauti moja isikike katika kumsifu na kumshukuru Yehova, na mara tu walipopaaza sauti kwa tarumbeta na kwa matoazi na kwa vyombo vya nyimbo+ na kwa kumsifu+ Yehova, “kwa maana yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo+ ni za mpaka wakati usio na kipimo,” nyumba ile ikajaa wingu,+ nyumba ya Yehova,+ 14 na makuhani hawakuweza kusimama ili kuhudumu kwa sababu ya lile wingu;+ kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Mungu wa kweli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki